HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, December 2, 2016

RC MAKALLA AWAKABILI WAANDESHA BAJAJI KATIKA OPERESHENI YAKE YA WEKA JIJI SAFI NA ONDOA MSONGAMANO JIJI LA MBEYA...


Mkuu wa mkoa wa mbeya mh.Amos Makalla  amekutana na waendesha Bajaji wanautumia kituo cha Kabwe na kusitisha kwa muda kuhamishwa kituoni hapo mpaka hapo kituo kilichopendekezwa kifanyiwe marekebisho agiza operesheni iendelee kwa Bajaji kufuata ruti na vituo walivyopangiwa ataka jiji la Mbeya liwe la mfano kwa usafi

Aidha ameridhia operesheni kwa vituo na njia zilizopendekezwa iendelee lengo la operesheni hii ni kuliweka jiji safi na kuondoa msongamano.

Baadhi ya madereva wa bajaji watumiao eneo la kabwe kuegesha bajaji zao wakizungumza na mkuu wa mkoa wa mbeya Amos Makalla Hayupo Pichani....
Mkuu wa mkoa wa mbeya akiagana na waendesha Bajaji wa Kabwe mara baada ya Kuzungumza nao.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad