HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, September 26, 2016

UTT AMIS YATOA ELIMU YA JUU YA UWEKEZAJI KWA WANACHAMA WA NAMAINGO BUSINESS AGENCY

Ofisa Mafunzo kutoka Idara ya Uendeshaji UTT AMIS, Abbas Kandila akipitia fomu za wanachama wa Kampuni ya Ushauri wa Kibiashara ya Namaingo Business Agency baada ya kujiunga na Mfuko wa Uwekezaji wa Pamoja jijini Dar es Salaam.
Ofisa Mafunzo Kitengo cha Masoko kutoka Kampuni ya Uwekezaji UTT AMIS, Waziri Ramadhani akitoa elimu juu ya Uwekezaji wa Pamoja kwa wanachama wa Namaingo Business Agency kwenye uzinduzi wa Shamba la Ufugaji Sungura Majohe jijini Dar es Salaam.
Ofisa Mafunzo kutoka Idara ya Uendeshaji UTT AMIS, Abbas Kandila (kulia), akiwaeleleza jinsi ya kujaza fomu za kujiunga Mfuko wa Uwekezaji wa Pamoja baadhi ya wanachama wa Kampuni ya Ushauri Kibiashara ya Namaingo Business Agency wakijaza fomu kujiunga na Mfuko wa Uwekezaji wa Pamoja.

Wanachama wa Kampuni ya Ushauri Kibiashara ya Namaingo Business Agency wakimsikiliza Ofisa Mafunzo wa Idara ya Masoko na Uhusiano wa UTT AMIS, Waziri Ramadhani (hayupo pichani) wakati wa uzinduzi wa Shamba la Ufugaji Sungura Majohe jijini Dar es Salaam..

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad