HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, September 29, 2016

KATIZO LA UMEME MKOA WA KINONDONI KUSINI 1OKTOBA-2.


 SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake wa Mkoa wa Kinondoni Kusini kuwa kutakuwa na katizo la umeme kama ifuatavyo:-

TAREHE:    Jumamosi 01 Oktoba, 2016
MUDA:       02:00 Asubuhi hadi 11:00 jioni
SABABU:   Kujenga laini mpya ya Mburahati na ukarabati wa laini za Tandale Textile ili kuboresha hali ya umeme.

MAENEO YATAKAYOATHIRIKA:
Maeneo yote ya Tandale, Manzese, Sinza Uwanja wa TP, Sinza Vatican, Namnani Hotel, Iteba, Sinza Kijiweni,  Sinza Kumekucha, Sinza Mwika, TTCL Manzese , Urafiki Quarters, Urafiki Textile,TSP Ltd Millenium business, Sinza Lion Hotel, Rombo Sunflower, Strabag compound, Engen petrol station, Masamaki Plastic Bags Ltd pamoja na maeneo ya jirani.

TAREHE:     Jumapili 2 Octoba, 2016
MUDA:       02:00 Asubuhi hadi 11:00 jioni
SABABU:   Matengenezo kwenye Kituo cha Kupozea Umeme Ubungo 33kv ili kuboresha hali ya umeme.

MAENEO YATAKAYOATHIRIKA:
Parts of Mandela road, I ndustrial area near Mandela road, Ubungo NBC, Tbs  Ubungo, Ubungo Bus Terminal, Parts of  Sinza, Part of Kimara, Baruti,Kimara Kimara Korogwe,Kimara Mwisho, Kimara Matangini, Kimara Mavurunza, Ubungo Maziwa, TTCL Ubungo Kisiwani,  Mabibo,TGNP Mabibo, Mabibo Hostel, Mabibo Jeshini, Mabibo, Makabe, Mpigi Magohe, Goba,Kimara King’ong’o, Tegeta A,Mavurunza, Suka, Stopover, Changanyikeni, Makongo Mwisho pamoja na maeneo ya jirani.

Tafadhali usishike waya uliokatika, toa taarifa kupitia simu zifuatazo Magomeni 0222171759/66, 0784/0715271461, Kimara Ofisi ya Wilaya 0717/0788379696, Au Kituo cha miito ya simu 2194400 Au 0768 985100.

Uongozi unasikitika kwa usumbufu wowote utakaojitokeza.
Imetolewa na:  Ofisi ya Uhusiano, TANESCO Makao Makuu                     

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad