HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, September 9, 2016

DC GONDWE APIGA STORY NA WANAFUNZI WALIOHITIMU ELIMU YA MSINGI WILAYANI HANDENI

Mkuu wa wilaya ya Handeni Mh. Godwin Gondwe Akifurahia wanafunzi wa darasa la saba mara wakati akizungumza nao walipomaliza kufanya mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi katika shule ya Chanika wilayani Handeni mkoani Tanga.

Wanafunzi hao wamemwambia Mkuu wa wilaya Mh. Godwin Gondwe kufikisha salamu zao kwa Rais Dk. John Pombe Magufuli, wakimshukuru kwa kuwezesha elimu ya Msingi mpaka Sekondari kuwa bure , kwani itarahisha wanafunzi wengi ambao wazazi wao hawana uwezo kupata elimu. Wameongeza kuwa "Mtihani ulikuwa mzuri hivyo watafauru kwa kishindo".

Mkuu wa wilaya ya Handeni Mh. Godwin Gondwe akiwa pamoja na wanafunzi wa darasa la saba mara baada ya wanafunzi hao kufanya mtihani wa kuhitimu elimu ya Msingi katika shule ya Chanika wilayani Handeni.
Wanafunzi wa shule ya Msingi Chanika wilayani Handeni wakifurahia jambo mara baada ya kuhitimu elimu ya Msingi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad