HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, August 15, 2016

ZANZIBAR WENYE ASILI YA INDIA WASHEREHIKEA MIAKA 70 YA UHURU WA INDIA.

 Balozi Mdogo wa India Tek Chand Barupal akisalimiana na Wananchi wenye asili ya India wanaoishi Zanzibar katika maadhimisho ya kutimia miaaka 70 ya Taifa hilo iliofanyika katika Ofisi ya Balozi Mdogo wa India iliopo Migombani Zanzibar. 
Balozi Mdogo wa India Tek Chand Barupal akiwahutubia wananchi wa Zanzibar wenye asili ya India waliohudhuria maadhimisho ya miaka 70 yaliofanyika Ofisi ndogo iliopo Migombani Zanzibar.

 Mwananchi wa Zanzibar mwenye asili ya India Bhagwanji Meisuria maarufu kwa jina la (MSHAMBA) akizungumza na waandishi wa habari juu ya namna ya Amani iliyopo Nchini kwa ujumla.
PICHA ZOTE NA ABDALLA OMAR –HABARI MAELEZO ZANZIBAR.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad