Hachomoki Mtu hapoo..
Mtanange ukifuatiliwa kwa kinaaa.
Kipozaa koo Kikiwa kimeshikwa na mwanadada kuajili ya wachezaji kutokana na Vumbi dogo la Uwanja wa Wenye kuwezea..
Mtanange ukiendelea..
Vumbi likiminywa na miguu ya wenyewe wenye uwanja..
Tayari kalizwa huyoo mdogo mdogo akichomoka uwanjani...
No comments:
Post a Comment