HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, July 2, 2016

Wafugaji kibaha wakabidhiwa N’gombe bora wa maziwa 42


Katibu Mkuu Wizara ya kilimo mifugo na Uvuvi anayeshuhulikia Mifugo Dkt. Maria Mashingo (Katikati) akikagua moja ya kati ya Ngombe 42 wa Maziwa waliotolewa kwa wafugaji wa wadogo wa Kibaha Picha ya Ndege na Kibaha Mkuza Mkoa wa Pwani, Ng’ombe hao wamenunuliwa kwa Mkopo kutoka Covenant Bank wana uwezo wa kutoa Maziwa zaidi ya rita 25 kwa siku. Wanaoshuhudia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Covenant Bank Sabetha Mwambenja (kulia). Na Mwenyekiti wa Kikundi cha Wafugaji Picha ya Ndege Anna Rose Ndashau. 
Katibu Mkuu Wizara ya kilimo mifugo na Uvuvi anayeshuhulikia Mifugo Dkt. Maria Mashingo, akipatiwa maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Covenant Bank, Sabetha Mwambenja kabla ya kukabidhi Ng’ombe bora 42 wa maziwa kwa wafugaji wadogo wa Kibaha Picha ya Ndege na Kibaha Mkuza Mkoa wa Pwani, Ng’ombe hao wamenunuliwa kwa Mkopo kutoka Covenant Bank wana uwezo wa kutoa Maziwa zaidi ya rita 25 kwa siku.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Covenant Bank, Balozi Salome Sijaona, akitoa maelezo kwa Katibu Mkuu Wizara ya kilimo mifugo na Uvuvi anayeshuhulikia Mifugo Dkt. Maria Mashingo,( mwenye suti nyeusi) kabla ya kukabidhi Ng’ombe bora 42 wa maziwa kwa wafugaji wadogo wa Kibaha Picha ya Ndege na Kibaha Mkuza Mkoa wa Pwani, Ng’ombe hao wamenunuliwa kwa Mkopo kutoka Covenant Bank wana uwezo wa kutoa Maziwa zaidi ya rita 25 kwa siku.Pamoja nao ni Mkurugenzi Mtendaji wa Covenant Bank Sabetha Mwambenja.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad