HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, July 1, 2016

BWANA PIUS MATESO NDIMBO WAFUNGA PINGU ZA MAISHA NA BI.JULIETH MWASI


Maharusi Bwana Pius Mateso Ndimbo na mkewe Julieth Mwasi wakiwa na nyuso za furaha mara baada ya kufunga ndoa katika kanisa la Mt Alois Gonzaga Parokia ya Mbinga , na kufuatiwa na sherehe ya kuwapongeza iliyofanyika katika ukumbi wa Uvikambi Mbinga mjini mkoani Ruvuma.
Bi Julieth Mwasi kushoto akimvisha pete ya ndoa mumewe Bwana Pius Mateso Ndimbo wakati wa ibada yao ya ndoa iliyofanyika katika kanisa la Mt Alois Gonzaga Mjini Mbinga mkoani Ruvuma.
Maharusi Pius Mateso na Julieth Mwasi katikati wakiwa na wasimamizi wao katika kanisa la Mt Alois Gonzaga wakati wa ibada yao ya ndoa iliyofanyika mjini Mbinga.
Picha zote na Muhidin Amri

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad