Meneja Masoko wa Bia ya Asili ya Nzagamba, Oscar Shelukindo akionyesha kwa waandishi wa habari Bia hiyo ya Asili inayopatika maeneo ya Kanda ya Ziwa, wakati uzinduzi wa Promosheni yake itakayowawezesha wanywaji wa Bia hiyo kujishindia
Ng'ombe kila wiki. Uzinduzi huo umefanyika leo Julai 19, 2016 kwenye Kiwanda cha Nzagamba, Iloganzala Jijini Mwanza. Kulia ni Meneja
Mauzo wa Bia ya Asili ya Nzagamba, Fred Kazindogo.

Meneja
Mauzo wa Bia ya Asili ya Nzagamba, Fred Kazindogo akionyesha moja ya
maboksi yatakayotumika kwa washiriki wa Promosheni ya Bia hiyo ya asili ya
Nzagamba itakayowawezesha wanywaji wake wa Kanda ya Ziwa kujishindia
Ng'ombe kila wiki, wakati wa uzinduzi wa Promosheni hiyo, uliofanyika
kwenye Kiwanda cha Nzagamba, Iloganzala Jijini Mwanza. Kulia ni Meneja Masoko wa Bia ya Asili ya Nzagamba, Oscar Shelukindo.
Meneja Usambazaji wa Bia ya Asili ya Nzagamba, Peter Mwambenja (kushoto) akielezea namna Promosheni hiyo itakavyofanyika na namna washindi watakavyopatikana. Wengine pichani ni Meneja Masoko wa Bia ya Asili ya Nzagamba, Oscar Shelukindo, Meneja
Mauzo wa Bia ya Asili ya Nzagamba, Fred Kazindogo pamoja na Meneja Usambazaji wa Bia ya Asili ya Nzagamba, James Makalla.
Meneja Masoko wa Bia ya Asili ya Nzagamba, Oscar Shelukindo akionyesha kwa mfano namna ya kushiriki Promosheni hiyo ya Nzagamba.
No comments:
Post a Comment