HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, June 1, 2016

GEPF WATOA MSAADA WA COMPUTERS NA PRINTERS KWA BODI YA NGO’S KUPITIA WIZARA YA AFYA, MAENDELEO YA JAMII, WAZEE NA WATOTO

Kaimu Mkurugenzi Mkuu Mfuko wa GEPF,  Edgar Shumbusho akimkabidhi baadhi ya vifaa hivyo Katibu Mkuu wa wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii Wazee na Watoto Bi Sihaba Nkinga
Katibu Mkuu Bi Sihaba Nkinga akitoa nenola shukurani kwa niaba ya wizara kwa ujumbe kutoka Mfuko wa Pensheni wa GEPF
Mjumbe wa Baraza la NGO Bw Ajax Diria akitoa neon la shukurani kwa niaba ya baraza akishuhudiwa na mwenyekiti wa Baraza Bi Rukia Masasi.
Mkuu wa kitengo cha masoko na mawasiliano Bw Aloyce Ntukamazina akielezea shughuli za Mfuko na mafanikio yaliyopatikana katika sekta binafsi ikihusisha na NGO’s kwa kipindi cha mwaka 2015/16 kulia kwake ni Kaimu Mkurugenzi wa wizara Bw Baraka Leonard

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad