HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, May 6, 2016

Watu hawa Wanatafuta ndugu zao

Ndugu Ally Said (40) amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa ajili ya matibabu anatafuta ndugu zake ambao amepotezana nao . Kwa yoyote atakayemtambua afike Hospitali ya Taifa Muhimbili kitengo cha Uhusiano.
Mwenye picha hapo juu ambaye jina lake halijafahamika amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa ajili ya matibabu, anatafuta ndugu zake ambao amepotezana nao .Kwa yoyote atakayemtambua binti huyu afike Hospitali ya Taifa Muhimbili kitengo cha Uhusiano.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad