Ofisa kilimo wa halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Claudy Losiock (kulia) akizungumza juzi na baadhi ya madiwani na mkuu wa wilaya hiyo Mahmoud Kambona (kushoto) kwenye shamba lake ambalo ni darasa kwani amelima na kupanda kitaalamu.Madiwani hao walionekana kuvutiwa mno na elimu hiyo ya shamba darasa la Mahindi.(picha na woinde shizza, Simanjiro).
Wednesday, May 4, 2016
SHAMBA DARASA LA MAHINDI LAWAKUNA MADIWANI WA WILAYA YA SIMANJIRO
Tags
# HABARI MCHANGANYIKO
HABARI MCHANGANYIKO
Labels:
HABARI MCHANGANYIKO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment