HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, April 7, 2016

MKUU WA MKOA WA DODOMA AKAGUA ENEO KOROFI KWENYE NJIA YA RELI GULWE MPWAPWA

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Jordan Rugimbana (katikati) akikagua mikondo mikubwa inayotiririsha maji ya mvua kwa wingi kwenye miundombinu ya reli eneo la Gulwe na kusababisha eneo hilo kushindwa kupitika na Treni baada ya kufukiwa na udongo Jana, Mkuu wa Mkoa na timu aliyoambatana nayo walibaini uchimbavu wa mabwawa makubwa ya uvunaji maji ya mvua utasaidia kuondoa athari hizo za mvua.
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Jordan Rugimbana (katikati) akikagua miundombinu ya reli eneo la Gulwe iliyofunikwa na udongo ulioletwa na mafuriko na kusababisha eneo hilo kushindwa kupitika na Treni, Tayari mafundi wa TRL wameanza kazi ya kufukua njia hiyo ya Reli.
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Jordan Rugimbana (kulia) akikagua miundombinu ya reli eneo la Gulwe iliyofunikwa na udongo ulioletwa na mafuriko na kusababisha eneo hilo kushindwa kupitika na Treni, Tayari mafundi wa TRL wameanza kazi ya kufukua njia hiyo ya Reli.
Mafundi wa TRL wakitoa udongo kwenye miundombinu ya reli eneo la Gulwe iliyofunikwa na udongo ulioletwa na mafuriko na kusababisha eneo hilo kushindwa kupitika na Treni.
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Jordan Rugimbana (katikati) akifanya majumuisho ya ziara yake ya kukagua miundombinu ya reli eneo la Gulwe iliyofunikwa na udongo ulioletwa na mafuriko na kusababisha eneo hilo kushindwa kupitika na Treni, Tayari mafundi wa TRL wameanza kazi ya kufukua njia hiyo ya Reli. 
Mikondo mikubwa inayotiririsha maji ya mvua kwa wingi kwenye miundombinu ya reli eneo la Gulwe na kusababisha eneo hilo kushindwa kupitika na Treni baada ya kufukiwa na udongo jana.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad