HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, February 25, 2016

WAZIRI NAPE NNAUYE ATEMBELEWA NA KAIMU MKURUGENZI WA MAWASILIANO NA UHUSIANO WA VODACOM.

WAZIRI WA HABARI,UTAMADUNI,SANAA NA MICHEZO NAPE NNAUYE ATEMBELEWA NA KAIMU MKURUGENZI WA MAWASILIANO NA UHUSIANO WA VODACOM,ROSALYNN MWORIA KWA AJILI YA MAZUNGUMZO YA KIKAZI.
 Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mh.Nape Nnauye akisalimiana na Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Rosallyn Mworia wakati alipotembelea Wizarani  kwa ajili ya mazungumzo ya kikazi.
.Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mh.Nape Nnauye akiwa katika picha ya pamoja na Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Rosallyn Mworia wakati alipotembelea Wizarani  kwa ajili ya mazungumzo ya kikazi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad