Baadhi ya Wadau wa Sheria na Wageni waalikwa walio hudhuria Sherehe hiyo ya Kilele cha Sheria Nchini zilizo fanyika Kimkoa katika Ukumbi wa Mkapa Jijini Mbeya.
Mkuu wa Mkoa kulia akimpongeza Mmoja wa Waimbaji mahiri wa Kwaya ya Mahakama Kuu Bwana Masanja kwa kazi nzuri aliyo ifanya katika Tasnia yake ya Uimbaji na Ungozi mzuri wa Kwaya hiyo ya Mahakama Kuu.
PICHA ZOTE NA MR.PENGO MMG MBEYA.
No comments:
Post a Comment