HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, February 11, 2016

EFM 93.7 yatambulisha jembe jipya Sports Lady.

Mkuu wa vipindi vya michezo E FM, Maulid Kitenge (kushoto) akimtambulisha mtangazaji mpya wa kike wa michezo, Tunu Hassan Shenkome. mara baada ya kufika katika ofisi za E Fm jana.
Wengine pichani ni Ibrahim Masoud Maestro na Oscar Oscar.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad