HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, February 7, 2016

DOGO WA RANGI AKIKOROFISHA MAMBO KILINGENI KWAKE....

Mtaalamu wa kupaka Rangi zenye Ubora Mwanana na Mwenyeuzowefu mkubwa wa kupaka Rangi Mtaani kwetu akiwa katika Kilinge chake Kukoroga Rangi kuajili ya Kupendezesha jambo hapo kama alivyo Naswa na Kamera ya Mtaa kwa Mtaa Blog.
"Hakaaa Karangi mbona kama Kameganda hakaaaa"
"Sio mbaya Hatakama Kameganda Dawa hapa ni kukomaa nako tuu....."
#Kamerayamtaakwamtaablog.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad