HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, January 15, 2016

MFUKO WA GEPF WAMPA UBALOZI MSANII ROSE NDAUKA

Mkuu wa kitengo cha masoko Bw Aloyce Ntukamazina akiwaeleza waandishi wa habari juu ya mkataba walioingia na Bi Rose Ndauka kama balozi mpya 2016.
Balozi mpya wa Mfuko wa GEPF Rose Ndauka akitoa neno la shukurani pamoja na kuelezea mikakati yake ya kuutangaza Mfuko wa GEPF.
Mkuu wa kitengo cha Masoko Bw Aloyce Ntukamazina na Balozi mpya wa GEPF Rose Ndauka wakitia saini mkataba huo.
Baada ya kutia saini rasmi Bw Aloyce Ntukamazina akimkabidhi rasmi mkataba huo tayari kwa kuanza kazi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad