HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, January 13, 2016

JICHO LA KAMERA YA MTAA KWA MTAA LEO

Kamera yetu leo imeinasa taswira hii ya Katapila likifanya utaalam wake wa kuchonga eneo la kiwanja ambacho ujenzi wake wa utangulizi ulikuwa na choo cha nje, huko Mbezi Goba jijini Dar.
Fremu za Maduka kabla ya kufunguliwa. 
Ujenzi wa Nyumba uliotukuka wa mita sifuri nukta tano moja.
Hapo ni wewe tu, upite kulia au kushoto.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad