Taswira hizi zilinaswa na Kamera ya Mtaa kwa Mtaa Eneo la Mtaa wa Mkombozi Jijini Mbeya karibu na Nigero Kukiwa na Kibao kilicho wakumbusha watu Kutotupa Taka na si kuwakataza kutupa Taka... #Kamerayamtaakwamtaablog.
No comments:
Post a Comment