Mwana Muziki wa Kizazi Kipya toka Nyanda za Juu Kusini Zax 4Real akitumbuiza katika hafra yake ya Uzinduzi wa Albamu yake iendayo kwa Jina la "Punguza Hasira" Uzinduzi ulio fanyika Tar,25-09-2015 katika Ukumbi wa Hope Ville Soweto Jijini Mbeya.
PICHA ZOTE NA FADHIRI ATICK-MR.PENGO MBEYA.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

No comments:
Post a Comment