HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, September 23, 2015

TANGAZO LA KIFO

Kaimu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. HAB Mkwizu anasikitika kutangaza kifo cha Bw. Yakalawa Kondo – Msaidizi wa Ofisi Mkuu wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma (Pichani) kilichotokea tarehe 21.09.2015 saa 3 usiku katika Kituo cha Afya cha Vijibweni - Kigamboni. Mazishi yalifanyika tarehe 22.09.2015 saa 10 jioni katika makaburi ya Tungi Shule – Kigamboni. 

“Mungu ailaze  Roho ya Marehemu Mahala Pema Peponi, Amen”

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad