HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, September 23, 2015

MSIMU MPYA WA TAMASHA LA MTIKISIKO LAZINDULIWA IRINGA

 RADIO Ebony Fm yenye makao yake makuu mkoani Iringa kupitia kipindi chake cha mchana "THE SPLASH" imezindua rasmi hewani (on air launching) msimu mwingine wa kila mwaka wa tamasha maarufu kwa mikoa ya Nyanda za Juu Kusini linalokwenda kwa jina la "MTIKISIKO" ambalo linatarajiwa kuanza katikati ya mwezi huu na kupita karibu sehemu zote inaposikika redio hiyo baadhi ya picha za watangazaji wakiwa katika shangwe za uzinduzi huo.
(PICHA zote na Denis Mlowe)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad