Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti
wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akimkabidhi fedha tasilim
Shilingi za Kitanzania Millioni mbili Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Mhe,Jecha Salim Jecha wakati aliporejesha
fomu za kugombea Urais wa Zanzibar katika Ofisi ya Tume ya Uchaguzi
iliyopo Hoteli ya Bwawani Mjini Unguja leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akisalimiana na Wananchi waliofika katika Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja baada ya kurejesha fomu za kugombea Urais wa Zanzibar katika Ofisi ya Tume ya Uchaguzi iliyopo Hoteli ya Bwawani Mjini Unguja leo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akisalimiana na Wananchi waliofika katika Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja baada ya kurejesha fomu za kugombea Urais wa Zanzibar katika Ofisi ya Tume ya Uchaguzi iliyopo Hoteli ya Bwawani Mjini Unguja leo
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti
wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akisalimiana na Wananchi
waliofika katika Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja baada ya
kurejesha
fomu za kugombea Urais wa Zanzibar katika Ofisi ya Tume ya Uchaguzi
iliyopo Hoteli ya Bwawani Mjini Unguja leo,[Picha na Ikulu.]
No comments:
Post a Comment