Mafundi wakiwa katika matengenezo ya barabara ya Mahakama ya Mwazo ya Kinondoni jijini Dar es Salaam kama ilivyonaswa na kamera ya mtaa kwa mtaa .
Hali halisi ya kipande cha kutokea katika hospitali ya Mvungi Kinondoni mafundi wakiwa kazini.
Mafundi wa Barabara wakiendelea na kazi katika eneo la ya kuelekea Mahakama ya Mwazo ya Wilaya ya Kinondoni Jiji Dar es Salaam leo.
Picha na Emmanuel Massaka
No comments:
Post a Comment