Kamera ya Mtaa kwa Mtaa blog ilipo kuwa katika heka heka yake ya kila siku kuhakikisha libeneke lako pendwa halilali njaa ilifanikiwa kunasua baadhi ya taswirazz za masai walio kuwa wamekula pozz mahala kwa kungojea jambo furani huku wakiwa na baadhi ya sime kuajili yakuhakikisha usalama unakuwepo karibu yao....picha na Mtaa kwa Mtaa blog.
hapa sasa kama wewe kidume jaribu kujitia kiburi kidogo kwa kuwaletea zengwe kidogo hapo...
No comments:
Post a Comment