Mkurugenzi wa Maendeleo ya Utamaduni kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni
na Michezo Profesa Hermas Mwansoko akizungumza wakati wa hafla uzinduzi wa Tawi la
Chama cha Wanafunzi wanaosoma KiswahiliAfrika Mashariki (CHAWAKAMA) katika Chuo
cha Kumukumbu ya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam jana.
Mwanafunzi wa mwaka wa Kwanza katika fani yaKiingereza na Kishwahili Bi.
Fatma Amour Hamad akiimba shairi wakati wa hafla uzinduzi wa Tawi la Chama cha
Wanafunzi wanaosoma KiswahiliAfrika Mashariki (CHAWAKAMA) katika Chuo cha
Kumukumbu ya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam jana.
Mkurugenzi wa Maendeleo ya Utamaduni kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni
na Michezo Profesa Hermas Mwansoko akimlisha keki Makamu Mkuu wa Chuo cha
Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Dkt. Magreth Shawa wakati wa hafla uzinduzi wa Tawi la
Chama cha Wanafunzi wanaosoma Kiswahili Afrika Mashariki (CHAWAKAMA) chuoni hapo.
Baadhi ya wageni waalika wakifuatilia burudani mbalimbali wakati wa hafla uzinduzi wa
Tawi la Chama cha Wanafunzi wanaosoma Kiswahili Afrika Mashariki(CHAWAKAMA) katika
Chuo cha Kumukumbu ya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam jana.
Mkurugenzi wa Maendeleo ya Utamaduni kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni
na Michezo Profesa Hermas Mwansoko akipanda mti kamakukmbukumbu ya ya kuzinduliwa
kwa tawi la CHAWAKAMA katika Chuo chaKumbukumbu ya Mwalimu Nyerere jana jijini Dar
es Salaam. Mti huo umepewa jina la CHAWAKAMA.
No comments:
Post a Comment