HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, May 31, 2015

TBL yadhamini Bonanza la Michezo jijini Dar

 Meneja Matukio wa TBL mkoa wa Dar es salaam, Zozimick Kimati (kushoto) akikabidhi sehemu ya jezi kwa Bw. Hamis Mwango, zilizotumiwa na timu mbali mbali zilizoshiriki kwenye Bonanza la Michezo lililodhaminiwa na TBL, ikiwa ni sehemu ya kuendeleza michezo nchini.
  Meneja Matukio wa TBL mkoa wa Dar es salaam, Zozimick Kimati (kati) akizungumza jambo na uongozi wa Timu ya Mshikamano Veterans kabla ya kuingia uwanjani kukipiga na timu ya Uhuru veterans.
 Kikosi cha Makabe Veterans wakiwa kwenye picha ya pamoja tayari kwa mtanange wa Bonanza la michezo lililodhaminiwa na TBL, ikiwa ni sehemu ya kuendeleza michezo nchini.
 Kikosi cha Mshikamano Veterans kikiwa kwenye picha ya pamoja tayari kwa mtanange wa Bonanza la michezo lililodhaminiwa na TBL, ikiwa ni sehemu ya kuendeleza michezo nchini.
Kikosi cha Uhuru Veterans.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad