HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, May 31, 2015

HIVI NDIVYO HALI ILIVYOKUWA WAKATI MH. LOWASSA ALIPOKUWA AKIELEKEA KWENYE UWANJA WA SHEIKH AMRI ABEID KUTANGAZA NIA YA URAIS

 Sehemu ya Waendesha Bodaboda wa Jijini Arusha wakiusubiria msafara wa Mh. Lowassa, maeneo ya Uwanja wa Ndege wa Arusha.
 Wadau wakichukua taswira ya Mh. Lowassa wakati alipotika eneo hilo.
 Abiria kwenye basi pia hawakua nyuma kuchua Taswira zako pale walipomuona Mh. Lowassa akiwa kwenye gari lake.
 Kila mmoja alikuwa na shauku ya kumuona na kumsabahi kama hivi.
 Sehemu ya wakazi wa Arusha wakimshangilia Mh. Lowassa alipokuwa akipita katika barabara ya Sokoine, Jijini Arusha wakati alielekea kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid kutangaza nia.
 WanaArusha wakiwa wamejipanga Barabarani.
 Ilikuwa ni shangwe tupu kwa kila aliemuona.
Wapiliza Matarumbeta wakawasahau mpaka maharusi waliowapa kazi, ili tu waweze kumuaona Mh. Lowassa akipita.

2 comments:

  1. Always mcheza kwao hutunzwa aje Dodoma kama hatakuwa Mdogo kama piritoni.

    ReplyDelete
  2. Always mcheza kwao hutunzwa aje Dodoma kama hatakuwa Mdogo kama piritoni.

    ReplyDelete

Post Bottom Ad