
povu la kutosha kwenye uso amboo siku zote ni mapokizi katika mwili wa binadamu lazima mtu akuangalie usoni kwanza ndo sehemu zingine zifuate.
mgongo mkavuuuuu.......
aonekanavyo kwa chini akiendelea na tendo hilo.
hapa ni mara baada ya maji ya kwanza kuisha na kuenda moja kwa moja kuongeza mengine kuajili ya laundi nyingine.
maji yakibadilishwa chemba...
maji ya laundi ya pili kuajili ya kuji suuza yakiwa tayari sasa na baada ya hapo ni kwenda kupiga pamba nyepesi, manukato ya nguvu ili anapo ingia ofisini lazima ujue ni mpenda kuoga tuu....
No comments:
Post a Comment