Taswirazz ya mwanadada mmoja mitaa ya changanyikeni akitia kibeliti nywele zake za awali alizo kuwa ameweka kwenye kichwa chake hatimae kuzichoma mara baada ya muda wa nywele hizo kufika tamati.picha na mtaa kwa mtaa blog.
dogo kushoto akishuhudia tukio zima la uchomwaji wa nywele hizo.
nywele zikiteketea mara baada ya kupigwa kibiliti.
No comments:
Post a Comment