HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, May 28, 2015

MAANDAMANO YA NG'OMBE KUELEKEA MJINI YAMEFANYIKA KWA AMANI NA UTULIVU HUKO....

Ng'ombe wa mzee nanii wakiwa kwenye msurulu wao kuelekea mjini kuajiri ya kupata haki zao za msingi kutoka kwa kiongozi wao aliye wa ahidi kuwapeleka huko..picha na mtaa kwa mtaa blog.
hapa ng'ombe zote zikipiga gwaride sambamba.
ng'ombe hizo zikiendelea kukata mitaa.
makukubaliano ya mmiliki wa ng'ombe hizo waliyo wekeana na ng'ombe hizo ni kwamba hakuna kula nyasi za njiani hata moja mpaka wa malize maandamano.
mzee akiwa pembeni ambako baadhi ya ng'ombe zilikuwa zikivizia kula nyasi wakati sio makubaliano yao.
lami ilee kuashiria ndio mjini kunakaribia sasa.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad