Lori lenye namba za Usajili T 782 AUY likiwa limeanguka kando ya Barabara ya Morogoro, eneo la Mdaula mchana wa leo. Haijafahamika kama kuna mtu kapoteza maisha au kujeruhiwa.Picha na Mdau wa Mtaa kwa Mtaa blog.
Saturday, May 9, 2015

Home
Unlabelled
lori lapiga mweleka eneo la Mdaula mchana wa leo
lori lapiga mweleka eneo la Mdaula mchana wa leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment