Meneja Mkazi wa Kampuni ya Wrigly, Emmanuel Laswai akizungumza wakati wa uzinduzi wa bidhaa mpya ya Double Mint (Chewing gum) lenye ladha za Menthrol na Papper Mint uliofanyika kwenye Ukumbi wa Danken, Mikocheni jijini Dar es salaam.
Sehemu ya wageni waalikwa katika uzinduzi huo.
Baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya Wrigly watengenezaji wa bidhaa mpya ya Double Mint (Chewing gum) wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya uzinduzi huo uliofanyika kwenye Ukumbi wa Danken, Mikocheni jijini Dar es salaam
samahani naweza pata location ya hawa jamaa hapa dar es salaam
ReplyDelete