HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, April 21, 2015

WANNE WATIWA MBARONI KATIKA TUKIO LA UJAMBAZI JIJINI DAR MCHANA HUU

Watuhumiwa wa Ujambazi wakiwa wamewekwa chini ya Ulinzi mara baada ya kutiwa mbaroni kwenye mataa ya Red cross katikati ya jiji Dar es salaam muda huu. inaelezwa kuwa Majambazo hao walimvamia na kumpora raia mmoja wa kigeni (Mzungu) maeneo ya Kinondoni na kufanikiwa kukimbia, lakini kumbe wakati wanafanya tukio hilo kuna raia aliwaona na alijitolea kuwakimbiza kwa gari na kuwanikiwa kuwablock maeneo hayo ya Red Cross ambapo huwa na askari wengi wa doria, wamekamatwa na bunduki mbili.
Watuhumiwa hao wakiwa chini ya ulinzi, huku wengine wakijaribu kuficha nyuso zao.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad