HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, April 10, 2015

MECHI ZIKIANZA TUTAWATAHARIFU,

 Hili tize la vijana wa rujewa wakipasha misuli kabla ya kuanza michuano yao kwenye uwanja wao ulio kuwa wa kipekee kuanzia magoli mpaka wachezaji wenyewe kwa kumbukumbu kipindi cha nyuma hizi neti zilizo wekwa kwenye magori hayo  zililwetwa kwa msaada kwa lengo la kupunguza mararia nchini huku ni tofauti kwani vijana hao wamekanusha na kusema "hizi neti zililetwa kuajili ya kuweka nyavu kwenye magori ya viwanja vya mipila nchini." Picha na Mtaa kwa Mtaa blog.
 nyanda akilitawala lango lake kwa kunyakuwa kampila walikofuma kwenye nyavu za kimataifa uwanjani kwao.
                     uwanja ukimeremeta kwa ubunifu wao wa kipekee.
                                                "gooooooooooooooool" 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad