Mtu mmoja akoswa koswa na gari baada ya kupiga mweleka na pikipiki yake katikati ya barabara eneo la mafiati jijini mbeya ambaye hakuweza kufahamika kwa majina kutokana na pilika pilika za kumuokoa na kumuwaisha hospitali kuajili ya matibabu.
baadhi ya wasamalia wema wakimpeleka mdau huyo kwenye gari kuajili ya kumpeleka hospitali.
Friday, April 17, 2015
Home
Unlabelled
MDAU ANUSULIKA BAADA YA KUPIGA MWELEKA NA PIKIPIKI KATIKATI YA BARABARA.
MDAU ANUSULIKA BAADA YA KUPIGA MWELEKA NA PIKIPIKI KATIKATI YA BARABARA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment