Wazee wa masafa marefu leo wakiwa wameamua kupiga chata mpyaa kwenye kioo cha mchuma huo ili kupendezesha na kuwa na muonekano mng'aavu pindi wajitapapo barabarani.
mmoja akiendelea kupachika chata hilo huku mwengine akitupia kijicho kwa mbali kucheki muonekano wake jinsi unavyo meremeta mchuma huo.
Wednesday, April 8, 2015

Home
Unlabelled
MCHUMA UKIPIGWA CHATA MPYAA.
MCHUMA UKIPIGWA CHATA MPYAA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment