Nikiwa katika mizunguko yangu ya kawaida hapa jijii Dar, Nilibahatika kupita barabara ya Kawawa katika eneo la Kinondoni Mkwajuni na kukutana na basi hii ikiwa na Abiria ndani yake ikijilazimisha kupanda kwenye kibaza cha pembeni ya barabara ili kuingia laini ya katikati ambayo itakuwa maalum kwa mabasi ya endayo kasi, baadae ilifanikiwa na kuendelea na safari zake.
Hilooo limefanikiwa kubanda.
Haya lileeee likiendelea na safari zake.
No comments:
Post a Comment