Wajanza wote hukutana hapa kwa lengo moja tuu kulavizia kuto piga maji katika mto jirani kwenye bawa la ndege eneo la iyela jijini mbeya wenyewe tupobize mchana kutwa tukutane huku kwaajili ya kusop sop vinavyo onekana kwenye mtaro korofi huku.
mdau akijisevia maji ya kando kwa viungo vinavyo onekana.
utamu wa haya maji sharti usiyavulie nguo.
Wednesday, April 22, 2015

Home
Unlabelled
HAPA NDIO BAWA LA NDEGE KILINGE CHA KUVIZIA KUPIGA MAJI KWENYE MTARO KOROFI.
HAPA NDIO BAWA LA NDEGE KILINGE CHA KUVIZIA KUPIGA MAJI KWENYE MTARO KOROFI.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment