HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, March 30, 2015

TASWIRA MBALIMBALI ZA VURUGU YA WAFANYA BIASHARA WA MWANJELWA NA SIDO JIJINI MBEYA LEO.

 Baadhi ya wafanya biasha wa maeneo ya mwanjelwa na sido jijini mbeya mapema leo katika vurugu ya wafanyabiashara hao baada ya kugombana wao kwa wao kutokana na baadhi ya wafanya biashara hao kuvunja makubaliano ya kutofungua maduka yao kwa mgomo unao endelea nchi nzima hatimae baadhi kufungua na kuanzisha vurugu jijini humo.picha na Fadhiri Atick (Mr.Pengo) Mbeya.
 baadhi ya wafanya biashara wakiwa katika hekaheka ya vurugu iliyotokea asubuhi ya leo jiji mbeya.
 kila mtu akiwa katika pilika pilika katika eneo la sido ziliko anzia vurugu hizo.
 kikosi cha kutuliza gasia kikiwa katika eneo la tukio kutuliza vulugu zilizo     kuwa zikiendelea.BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI.
                                 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad