Mara nyingi nimekuwa nikiona waendesha bodaboda wengi wakivunja sheria za Barabarani tena kwa makusudi kabisa,bila ya kuchukuliwa hatua zozote. Kuna wakati wanakatisha hata mbele ya magari yanayotoka upande mwingine na kuendelea na hamsini zao.mfano katika picha hizi ambapo taa zinaonyesha kuzuia vyombo vyote vya moto vilivyopo upande huu pamoja na kwamba kuna Askari pia,lakini wao wamepita sehemu ya kuvukia na kwenda kumlia taimingi Askari huyo ili wapite.
Wednesday, March 18, 2015
Home
Unlabelled
Hivi sheria za Barabarani haziwahusu hawa Waendesha Bodaboda???
Hivi sheria za Barabarani haziwahusu hawa Waendesha Bodaboda???
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment