HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, January 3, 2015

VITOWEO MAARUFU JIJINI DAR

Katika pita pita za kameramani wa Mtaa kwa Mtaa,leo alikatiza maeneo ya Sinza nanihii (jina husika kapuni) na kukuka vitoweo hivi vikiwa kwenye maandalizi ya kufanyiwa mambo ili jioni wateja wao waje kujisevia kwa staili ya "weka nusu na chips kavu".hivyo mie kama mjumbe nisieuwawa nawawasilishia mzigo huo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad