HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, January 14, 2015

MFUKO WA PENSHENI WA GEPF WASHEREHEKEA MWAKA MPYA NA KITUO CHA WATOTO YATIMA NA WASIO NA MAKAZI MAALUM (CHAKUWAMA) KILICHOPO SINZA

Meneja Masoko wa Mfuko wa GEPF,Bw Aloyce Ntukamazina (shati draft) akimkabidhi Katibu Mtendaji wa Kituo cha kulea Watoto Yatima cha Chakuwama,Bw. Hassan Hamisi msaada wa mahitaji mbali mbali ya chakula kwaaajili ya watoto wa kituo hicho.katikati ni Afisa Masoko Msaidizi wa Mfuko wa GEPF,Bw. Adam Hamza.
Katibu Mtendaji wa Kituo cha kulea Watoto Yatima cha Chakuwama,Bw. Hassan Hamisi akipokea moja ya ‘pampers’ maalum kwaajili ya watoto wachanga kutoka kwa Afisa Mafao Mwandamizi wa Mfuko wa GEPF,Bi. Salma Mtaullah.
Baadhi ya watoto yatima na wasio na makazi maalum watunzwao na kituo cha Chakuwama wakifurahia ujio wa maafisa wa GEPF.
Watumishi wa Kituo cha Chakuwama wakisaidiana kupokea mahitaji muhimu yaliyopelekwa na Mfuko wa GEPF.
Mwakilishi wa watoto wa kituo cha Chakuwama akitoa neno la shukurani kwa niaba ya watoto wenzake na kuwashukuru GEPF kwa kuwakumbuka katika kipindi muhimu cha mwaka mpya.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad