HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, December 9, 2014

WATOTO NA UKALI WA KUSUKUMA KETE

 Kama kawa watoto na michezo kila siku, libeneke Mtaa kwa Mtaa moja kwa moja kitaani na   kuwanasa watoto wakisukuma kete kilingeni, kwa kucheza mchezo wa drafti ambao ni mchezo unao chezwa mara nyingi na watu wazima lakini leo mchezo huo umevamiwa na watoto.
 
watoto hawa wakidigitali bila shaka huwenda wakawa wana cheza kamchezo ka kubeti,maana kwa jinsi mashabiki wa wachezaji hao walivyo simama duu.  
 
          mashabiki wakiwa makini na usukumaji wa kete wa wadau wao.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad