HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, December 9, 2014

HUYU NAE SIO WAKUMUACHIA MTOTO.

Cameramani wa mtaa kwa mtaa blog katika pita pita zake za kila siku amebahatika kunasa baadhi ya taswira za jamaa mmoja alie achiwa mtoto  jijini mbeya,hakuweza kufahamika kwa majina,aki mrusha rusha mtoto juu chini chini juu,bila kujali lolote kutokea,isije ikawa ndo kama yale ya Uganda.
                               jamaa akiwa amembeba mtoto juu chini chini juu.
 mtoto akichekelea burudani ya bembea kutoka kwa jamaa bila kujali lolote kutokea kwani eneo hilo lime zungukwa na vipande vya bati na mawemawe.
kijeba kikiendelea kujitutumua kwa kuamsha hisia za taya na mishipa kwa lengo la kumfurahisha mtoto huyo.picha na Fadhiri Atick mr pengo mtaa kwa mtaa mbeya.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad