Meneja wa Uwajibikaji kwa Jamii kutoka Tigo Bi. Woinde Shisael (katikati) akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na kampeni maalum ya kampuni za simu tatu nchini zilizoungana kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia kutokomeza ugonjwa wa Ebola Afrika. Kushoto ni Mkuu wa Mawasliano na Mahusiano ya Umma kutoka Vodacom Bi. Rosalynn Mworia, na Meneja wa Huduma za Kijamii kutoka Airtel Bi. Hawa Bayumi (kulia). Kuchangia mteja yeyote wa kampuni hizo tatu tajwa anaweza akatuma neno 'Tokomeza Ebola' kwenda 7979.
Friday, December 5, 2014

Home
Unlabelled
Tigo,Vodacom na Airtel zashirikiana na AU ‘kutokomeza Ebola barani Afrika’
Tigo,Vodacom na Airtel zashirikiana na AU ‘kutokomeza Ebola barani Afrika’
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment