Mama Toffa mkazi wa jiji la mbeya akiwa kwenye bata samu kutokana na mkuno kutoka kwa msusi wa nywele katika maandalizi ya hapa na pale ya sikukuu za xmasi na mwakampya, huku akiwa amepozi kwa kuketi chini kando kando ya kiji barabara cha vumbi huku akisema "nichafuke nisichafuke, mambo hapa ni gere, nikimaliza najifutaa futaa tuu" ni mtazamo tu wa mzee wa mtaa kwa mtaa.
Wednesday, December 17, 2014
Home
Unlabelled
HUU NDIO MSIMU WA SIKUKUU.
HUU NDIO MSIMU WA SIKUKUU.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment