HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, November 13, 2014

Bwana Tariq na Bi. Vumi wameremeta huko jijini Mbeya

Bwana Tariq na Mkewe Bi. Vumi Yassin wakiwa katika nyuso za furaha mara baada ya kumeremeta kwao hivi karibuni huko jijini Mbeya.
Bi. Harusi,Vumi Yassin akiwa na dada yake kipenzi Bi. Amina Yassin wakati wa sherehe ya ndoa iliyofanyika hivi karibuni,Jijini Mbeya.
Vijana wa Madrasa wakisoma kaswida na kupiga dufu wakati wa sherehe hiyo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad