Basi la Wibonela linalofanya safari zake kati ya Kahama - Dar limepinduka na kupelekea zaidi ya watano kupoteza maisha na wengine kadhaa kujeruhi vibaya,ajali hiyo imetokea mapema leo katika eneo la Fantom nje kidogo ya mji wa Kahama. Chanzo kinaelezwa ni mwendo kasi uliopelekea kumshinda dereva wa basi hilo wakati akikata kona ya kuingia barabara kuu hali iliyopelekea basi kupinduka. Taarifa kamili tunaendelea kuifatilia na tutaendelea kujuzana hapa hapa.
Wednesday, November 12, 2014

Home
Unlabelled
BASI LA WIBONELA LAPINDUKA MJINI KAHAMA LEO
BASI LA WIBONELA LAPINDUKA MJINI KAHAMA LEO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment