HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, November 12, 2014

BASI LA WIBONELA LAPINDUKA MJINI KAHAMA LEO

Basi la Wibonela linalofanya safari zake kati ya Kahama - Dar limepinduka na kupelekea zaidi ya watano kupoteza maisha na wengine kadhaa kujeruhi vibaya,ajali hiyo imetokea mapema leo katika eneo la Fantom nje kidogo ya mji wa Kahama. Chanzo kinaelezwa ni mwendo kasi uliopelekea kumshinda dereva wa basi hilo wakati akikata kona ya kuingia barabara kuu hali iliyopelekea basi kupinduka.  Taarifa kamili tunaendelea kuifatilia na tutaendelea kujuzana hapa hapa.
Sehemu ya Mashuhuda wa ajali hiyo wakiendele kuchukua taswira mbali mbali wakati jitihada za kulinyanyua gari hilo zikiendelea.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad